Loading...

Wanawake 16 watekwa nyara na Boko haram huko Nigeria

TUFUATE INSTA KWA KUBONYEZA HAPA


Wapiganaji wa kundi la Boko Haram wamewateka nyara wanawake 16 katika eneo la mashambani kaskazini mashariki mwa jimbo la Adamawa huko Sabon Garin Madagali.
>>NEW AUDIO-Vanessa Mdee-niroge Download hapa
Wakaazi wanasema kuwa wanawake hao walitekwa msituni walipokuwa wakitafuta kuni na kuvua samaki katika mto chini ya ulinzi wa vijana wawili wa kuweka usalama wanaolisaidia jeshi dhidi ya wapiganaji hao.



TUFUATILIE FACEBOOK KWA KUBONYEZA 'LIKE' HAPA CHINI.


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by BoazMwakasege

2 comments

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright UHONDO WA MTAA | Modified By PB Web and Graphics
Back To Top